ZIFAHAMU SEHEMU ZINAZOMPA UTAMU MWANAMKE HAPA...


 
Kwa bahati nzuri wanawake wana
maeneo 5 ambayo huwawezesha
kusikia utamu wa kufanya ngono tofauti
na wanaume.
Sehemu maarufu ni kisimi na G spot
lakini kuna eneo lingine linaitwa AFE
ambalo liko mwishoni kabisa mwa uke
na vile vile kuta za uke bila kusahau
mwanzo wa uke.
Mwanamke huweza kupata utamu wa
tendo hili takatifu kwenye maeneo yote
hayo ikiwa mpenzi wake anajua
kuwajibika, sio kufanya mapenzi kwa
muda mrefu tu bali pia kujua kucheza na
uume wake. Pamoja na utundu wake pia
wewe mwanamke unatakiwa kuwa wazi
na huru kumuelekeza ikiwa kagusa
kusiko au kapatia kunako utamu.
Utamu wa maeneo yote hayo ni tofauti
na unazidiana kati ya mwanamke mmoja
na mwingine.
Hebu sasa tutazame hizo sehemu tofauti
za utamu wa ngono kwa wanawake.
Kisimi
Wanawake hupata utamu wa kisimini
kwa njia ya kusuguliwa, kushikwa,
kuchezewa kwa ulimi, kidole au kichwa
cha uume. Utamu wa mahali hapa
hupatikana haraka na hufanya usitamani
tena tendo hilo kwa muda fulani
(Kuanzia dakika 3 – 15) na kikiguswa
tena huweza kumpa mwanamke
maumivu fulani hivi. Baadhi ya
wanawake huwa hawawezi kuendelea
tena na tendo mara baada ya kuchezewa
kisimi.
G-spot
Utamu wa mahali hapa ni wa nguvu
sana na wanawake wengi huishiwa
nguvu kwa muda wanapoguswa eneo
hili. Nguvu hizo huchukua muda wa
dakika 20 – 45 kurejea, na zikirejea
hamu haiishi. Hivyo wakati wewe
umezimia mpenzi wako anaweza
kuendelea na mchezo na nguvu zikirudi
basi na wewe unaendelea kutafuta goli
lingine.
Mwanzo wa uke
Utamu wa mahali hapa haumpotezei
mwanamke hamu, kwani hafiki kileleni
bali anasikia utamu fulani hivi. Ili
mwanamke aweze kufika kileleni,
mwanaume anatakiwa aingize uume
ndani zaidi ili aweze kugusa eneo la G-
Spot na kuta za uke.
Kuta za uke
Utamu wa eneo hili unapatikana toka
mwanzo uume ulipoingizwa, na kadri
mnavyoendelea kufanyana ndivyo utamu
unavyozidi kuongezeka na hatimaye
mwanamke hujikuta akifika kileleni.
Mwisho wa uke (karibu na njia ya
uzazi)
Utamu wa eneo hili hupatikana endapo
uume wa mpenzi wako utagusa mwisho
wa uke. Kwa kawaida mwanamke
husikia maumivu flani anapoguswa eneo
hili lakini wakati huo huo bado
anapenda aendelee na wakati mwingine
anaweza kumuomba mpenzi wake
afanye kwa nguvu. Pia mwanamke
anaweza kutokwa na damu endapo
ataguswa eneo hilo.
Ewe mwanamke, hakikisha unamruhusu
mpenzi wako kufika huko ikiwa
mnaaminiana, mko kwenye uhusiano wa
kudumu, msafi kiafya na uko tayari kuwa
mama endapo mpenzi wako atateleza na
kuachia kidogo kwani eneo hili lipo
mlangoni kabisa mwa njia ya uzazi.