Muigizaji mrembo wa Ghana aahidi kumpiga busu mfungaji wa goli la kwanza



Wakati Ghana inajiandaa kukabiliana na Marekani leo katika Kombe la Dunia, mcheza filamu maarufu wa Ghana Nikki Samonas amesema atampa busu zito mchezaji yeyote wa Ghana atakayefunga bao la kwanza hii leo.

Kwa mujibu wa Nikki, busu hilo litakuwa zito na tamu kwa sababu yeye ni 'mbusuji' mzuri na hiyo ni ahadi ametoa.
 
Amesema kwa kuwa hayupo Brazil kwa sasa busu hilo litatolewa wakati wachezaji wa Black Stars watakaporejea.
 
 “It is unfortunate I couldn’t be at Brazil with the Black Stars to offer my support to them but I promise a very good kiss to the first Ghanaian player who scores against the U.S.

“My offer is genuine and it is my way of telling the Stars to go for gold and nothing less. I know the Black Stars will beat the U.S and win their subsequent matches but as I have said, the Black Stars player to score first against the U.S today gets a romantic kiss from me at any place of his choice”,Nikki aliiambia Showbiz :