Hii ni Aina Mpya ya Uhalifu wa Kimtandao inayokuja kwa Kasi nchini Tanzania


Miongoni mwa makosa yanayofanyika  mtandaoni  ni hili  lijulikanalo kama “Phishing” ambapo kosa hili limekuwa likidumu na  kukua  kwa  kasi  sana  katika nchi mbali mbali.

Nchi mbali mbali zimechukulia uhalifu huu kuwa ni hatari kwani unaweza kuwa na madhara makubwa kwa mtendewa ikiwa ni pamoja na kupelekea kumfilisi mtu, kupata taarifa za watu kinyume na sheria au makubaliano na hata wakati mwingine kupelekea kuleta madhara mengine kama kutumika kuhatarisha mifumo mbali mbali.

Kwa kuzingatia hili nchi mbalimbali zimekuwa na sheria kali dhidi ya uhalifu huu , huku nchi za afrika kupitia umoja wa wataalam wa maswala ya usalama mtandaoni wamekubalina  kuanzisha kamati yenye watu maalaum itakayoangazia macho uhalifu huu na kutoa taarifa huku hatua zikichukuliwa.

Makampuni ya Ati-vurus nayo yametoa uzito kwenye hili na kuhakikisha  wanaunda nyezo madhubuti za utambuzi wa aina hii ya uhalifu na mara kwa mara wakiwasilisha ripoti zao.
 
Changamoto bado zipo kutokana na upungufu wa uelewa kwa wananchi mbali mbali juu ya uhalifu huu inayo sababisha  waathirika kueendelea kuwa wengi kila kukicha.

Uchunguzi umeonyesha mara nyingi panapokuwa na jambo linalo fuatiliwa na wengi, wahalifu  nao  hujipenyeza hapo na kuanza kusambaza aina hii ya uhalifu.

Kwa upande wa Tanzania, Serikali  imekuwa  ikizungumza  mara  nyingi    na  kutoa  tahadhari  mbalimbali  juu  ya  uharifu  wa  kimtandao.

Ni vizuri tukakumbushana kuwa  Tanzania imesha kamilisha rasimu ya sheria za mitandao ambazo zitatoa fursa kwa wahalifu kushughulikiwa ipasavyo na hivi karibuni TCRA nayo ilizungumzia mpango wake wa kushughulikia watumiaji vibaya wa mitandao. Hili likiwa linafuatia kampeni yao ya Futa delete kabisa.

Wakati hili linajiri, kumekuwepoa na wimbi la wahalifu wa uhalifu huu wa "Phishing" ambao   hudukua na kuchukua akauti za mitandao za watu na kuanza kusambaza taarifa zitakazo wawezesha kupata taarifa za  wengine na mara nyingine wanatengeneza akaunti feki za mitandao wakitumia majina ya watu maarufu na kuanza kuzitumia vibaya.

Waharifu  hao  wamekuwa  wakitumia majina ya watu mashuhuri na kutumia watu ujumbe wakiwataka wabonyeze link ili kujiunga na huduma kama Vikoba, Pia wamekua wakituma ujumbe wakiwataka watu wafungue tovuti n.k

TAHADHARI: Kila mmoja anapaswa kuwa makini na unapo hisi ya kuwa unaweza ukawa muathirika wa uhalifu  wa  huu kimtandao basi badilisha neno la siri na siku zote jiepushe kujibu au kufuata maelekezo yatakayo kutaka ufanye kitu Fulani.

Jamaa anusurika Kunyofolewa Jicho baada ya kufumaniwa akingonoka na Mke wa Mtu ......Alivizia mwenye mke kasafiri, akazama Chumbani


Mkazi wa Mtaa wa Lagos, Wazo Mivumoni, Msitu wa Pande jijini Dar es Salaam, Nuru Makala ‘Baba Eliza’ (42) Jumatano iliyopita alikumbwa na majanga baada ya mwanaume aliyejulikana kwa jina la Yusuf Ally ‘Mgosi wa Ndima’ kudai amemfumania Baba Eliza akiwa na mkewe ambaye jina halikupatikana.

Tafrani hiyo ilijiri usiku wa Jumatano iliyopita, Juni 18, mwaka huu kwenye nyumba yake iliyopo Mtaa wa Lagos, Msitu wa Pande.
Akizungumzia  tukio  hilo  mbele  ya  wanahabari  waliokuwa  eneo  hilo  wakisaka  habari, Yusuf  Ally  ambaye  ni  mume  wa  mwanamke  aliyefumaniwa  alisema:
 
“Nilikuwa katika harakati za kumchunguza mke wangu kinyemela kwa siku nyingi kama anachepuka, nikabaini kuna mawasiliano yenye shaka kati yake na huyo jirani yangu.

“Nilipomuuliza mke wangu alikiri, akasema amekuwa akimwambia jirani yangu kwamba haiwezekani lakini jamaa anakomaa tu anamwambia wakutane, tena wakutane humu ndani.
 
“Ndipo nilipoamua kumuandaa mke wangu kwa mtego amwambie jamaa kuwa leo (siku ya tukio) sitakuwepo na sitarudi ili kumpa nafasi jamaa kuja kujinafasi. Baada ya kukamilisha mtego niliwasiliana na kamanda wa sungusungu wa eneo hilo, Kapteni Makumba na kumuelezea kinagaubaga.

“Kapteni Makumba aliwaandaa vijana wake ambapo kuanzia mishale ya saa mbili usiku walijibanza kwenye kichaka kilichopo mbele ya nyumba huku akifanya mawasiliano na mimi.”
 
Mgoni  akiomba  Msamaha.

Yusuf aliendelea kudai kuwa, ilipotimu saa tano usiku kukiwa kumetulia, Baba Eliza alionekana akikaribia nyumba ya jirani yake huyo kwa hatua za kunyata na kuangalia kulia na kushoto kisha akazama ndani huku mkononi akiwa ameshika kifurushi kilichobainika baadaye kwamba kilikuwa na machungwa kadhaa.

Alisema muda mfupi baada ya kuingia, sungusungu mmoja alikwenda kujibanza kwenye dirisha la chumba na kupiga chabo kilichokuwa kikiendelea ambapo alimshuhudia Baba Eliza akichojoa nguo chapchapu tayari kwa mtanange, sungusungu huyo akawatonya wenzake.
 
Yusuf akazidi kusema kwamba wote walitoka kichakani na kwenda kuvamia chumbani ambapo walimkuta mkewe aliyekuwa bado hajaanza kuvua nguo kwa sababu alijua majanga yatatokea muda si mrefu akiwa anajiandaa kufanya hivyo kiaina.

Baada ya hali kuwa shwari, Kamanda wa Sungusungu, Kapteni Makumba alianza kumsomea mashitaka jirani huyo aliyekuwa mtupu muda huo mbaye hakuwa na la kusema zaidi ya kuomba radhi na kumtupia lawama ibilisi kwamba ndiye aliyemshawishi na haikuwa amri yake.
 
Raia aliyeshuhudia mkasa huo akionesha sehemu ya kitanda  iliyochafuliwa na mgoni kwa kinyesi.
 
Sungusungu walimtaka Baba Eliza kumlipa fidia ya shilingi milioni moja mwenye mke kwa kitendo cha kumdhalilishia ndoa yake.

Source:  Ijumaa  Wikienda/ GPL

Kondomu zakutwa kwenye ukumbi wa bunge


Inaweza kuonekana ni kituko cha aina yake, lakini ni kweli kimetokea kwenye Ukumbi wa Bunge la Kaunti ya Nairobi na kuwaacha wabunge vinywa wazi. 
 
Katika hali isiyo ya kawaida, boksi la kondomu lilikutwa ndani ya ukumbi huo na kuwashtua wabunge wote akiwamo spika wa bunge hilo.
 
Mwakilishi wa eneo la Karura, Kamau Thuo ndiye aliyekuwa wa kwanza kuliona boksi hilo na kuwashtua wabunge wengine hali iliyoibua mjadala mzito.
 
Kutokana na sintofahamu hiyo Spika Alex Ole Magelo aliwataka wahudumu kufungua boksi hilo kujua kilichomo ndani yake ndipo walipokuta kondomu.
 
“Nafahamu wote humu ni watu wazima, lakini ninachoshangaa ni nani ambaye ameleta kondomu hizi ndani ya ukumbi huu,” alihoji Spika Magelo.
 
Hata hivyo, Mwenyekiti wa Kamati ya Afya, Manoah Mboku aliwaondoa hofu wabunge na kueleza kuwa kondomu hizo zilipaswa kuwekwa kwenye vyoo vya wanaume hata hivyo kwa bahati mbaya zikapelekwa mahali kusikohusika.

TOBA ANGALIA PICHA ZA MKE WA BOSS ALIVYONASWA AKILIWA KIBOGA NA HOUSE BOY WAO AIBU KUBWA ANGALIA PICHA TUKIO ZIMA...!


Zamani tulikuwa na hofu na mahouse girl kuvunja ndoa za watu lakini kwa sasa mabo yamebadilika.Kiongozi mkubwa mstaafu serikalini (Mr Kelechi) ameshangazwa na kile kinachoitwa sintofahamu baada ya kuona maajabu kwenye simu ya mfanyakazi wake wakiume wa nyumbani kwake(house boy).

Taarifa zinasema kiongozi huyo alichukua simu ya mfanyakazi wake iliafanye mawasiliano
lakini katika kuichezea alizikuta picha za uch za mke wake.Mapigo ya moyo yalibadilika, ndugu msomaji usiombe uibiwe mke ni bora ukaibiwa hata pesa.

WATU WAZIDI KUMSHAMBULIA FROLA MBASHA, KUMBE MDOGO WAKE ANAYEDAIWA KUBAKWA NDO ALIREKODIWA AKIFANYA MAPENZI NA NGASA???

Copy paste by Coco master. Hili suala naliwaza sn nahisi kuna kitu nyuma ya pazia isijekua Mali mlizochuma zikasababisha kumpoteza mmoja Kwa style hii . Binafsi kuhusu suala la Mbasha sidhani na siamini kama alibaka ila tabia ya mdogo wa Frola Mbasha si nzuri, alishawahi kuonekana kwenye magazeti na video yake ya ngono aliyoicheza na mchezaji maarufu Tanzania, Sasa kama yule mchezaji hakuchukuliwa hatua yeyote ilihali huyu binti alikuwa mwanafunzi na alitoroka shule, basi Mbasha hastahili kuwa hatiani, nimemshangaa sana dada Yangu Frola Mbasha kwa kwenda kwenye Television na kumuaibisha mume wake akisahau kuwa yeye ni ubavu tena wakushoto na anayemuaibisha ni mume wake na wamebahatika kupata mtoto,maandiko yameandika mwanamke atawaacha wazazi wake na kumfuata mumewe, pia kilichounganishwa na MUNGU kamwe hakuna atakayeweza kukitengua ina maana hamkuunganishwa na MUNGU?, mdogo wako ni pornstar na wewe unafahamu, kwanini umpe ukaribu na mumeo?sumu hawaonji kwa kuilamba? Tubu msamehe mwenzio, hayo yote yanapita na maisha yanaendelea!

WAJUE WANAUME ZAIDI YA 15 WALIOWAHI KUMFAIDI KIM KARDASHIAN…

Vitu ambavyo watu wanavifanya chumbani ni siri yako na mwezi wako lakini mara nyingi  unapokua maarufu basi vitu hivi sio siri tena.Hivi sasa kim ameshaolewa na bwana Kanye lakini mikasa aliyoipata katika maisha yake ya mapenzi ndio imetufanyavibe Tanzania kuangalia kwa jicho la pili mahusiano aliyopitia bibie Kim Kardashian.Akiwa tayari ana miaka 31 , Kim amepitiwa na wanaume wengi huku wengine wakiwa ni mpango wa kando wakati tayari ana mtu mwingine. Hii ni list ya wanaume  (wanaojulikana na maarufu)ambao wameshawai kumpitia kim tokea mwaka 1994 :-
Kim-Kardashian-Featured
TJ Jackson (1994-1998)
katika interview yake na Oprah, Kim alisema alianza kutumia njia za uzazi akiwa na miaka 14 ambapo alikua ataki kushika mimba akiwa na mdogo. TJ Jackson kama ulikua hujui, huyu ni mpwa “nephew” wa Michael Jackson ambapo inasemekana ndio alikua sio tu wa kwanza kutoka naye bali wa kwanza pia kufanya naye mapenzi.
TJ-Jackson-Kim-Kardashian
Damon Thomas (2000-2004)
Unafikiri kim hakuwahi kuolewa kabla? basi kama ndio , habari ni kwamba kim akiwa na umri wa miaka 20 aliolewa na producer , Damon Thomas , ndoa iliyodumu kwa miaka minne tokea mwaka 2000 hadi mwaka 2004. Ndoa yao ilivunjika kutokana na kim kupigwa mingumi na mwanaume huyu . Pia Kim alikua akifuatiliwa kila dakika anapopumua.
Kim-Kardashian-and-Damon-Thomas
Julian St. Jox (2001)
Huyu Jamaa ambaye ni muigizaji wa muvi za kikubwa (pornstar) ambaye  alimmaliza kim wakati kim akiwa yupo kwenye ndoa katika party moja waliokua nae. Julian alisema kim alitokea katika  hoteli ya Wyndham na mwanaume mweusi ambae anahisi alikua mme wake kipindi hicho, Damon ambapo alimfuata kim huku akiwa na pornstar mwenzake wa kike Emily Ann ambapo walianza kucheza na mizuka kupanda ambapo watatu hao walitafuta chumba na mengine yakabaki kua story.
Julian-St-Jox--Kim-Kardashian
Ray J (2002 – 2003)
Hivi kunaaja ya kuielezea hii kitu ? kwa wale wanaopenda picha za ngono , mtakua mmeshaona mkanda wa ngono kati ya Ray J na Kim Kardashian uliovuja. Kipindi mkanda huo unarekodiwa , Kim Kardashian alikua bado yupo kwenye ndoa yake na Damon. Duh! jamaa alikua bwege kweli…Kumbuka mkanda huu wa ngono ulivuja mwaka 2007 japokua ulirekodiwa mwaka 2003. Kama ulikua hujui mwaka 2007 ndio ulikua mwanzo wa kipindi cha Keeping up with the kardashians na wataalamu wanasema kipindi hiki kililenga kumsafisha kim bila kujua mafanikio ambayo kingepata.
Kim-KArdashian-and-Ray-J
Nick Lachey (2006)
Mwanamuziki huyu kutoka bendi ya 98 Degrees alitoka na Kim Kardashian kwa wiki moja tu na mahusiano yake yakavunjika. Nick alikua ametoka kuvunja ndoa yake na mwanamuziki Jessica Simpson na muda mchache akaanza kutoka na kim. Nick anadai Kim alimtumia kujipatia umaarafu baada ya kusema kim aliwalipa mapaparazi zaidi ya 30 kumpiga picha walipokua wanatoka movies. Nick anasema picha zake kati yake na Kim ndio ulikua mwanzo wa mafanikio ya Kim.
Nick-Lachey-and-Kim-Kardashian

Nick Cannon (September 2006- January 2007)
Hehehe, unajua kwanini Nick Cannon alimtosa Kim kardashian ? wapenzi hawa walikua wakiishi vizuri hadi pale Kim alipoulizwa na Nick kuhusu kuwepo kwa mkanda wa ngono kati yake na Ray J na Kim kumdanganya na kumwambia hamna kitu kama hicho. Nick alisema hataweza kumsamehe Kim kwa uwongo aliyomwambia.
Nick-Cannon-and-Kim-Kardashian
 Reggie Bush (2007)
Huyu ni mchezaji wa mpira (NFL) wa marekani ambae alikua na mahusiano na kim kwa zaidi ya miaka miwili hadi mwaka 2009 lakini mahusiano yao yalikua yakutosana na kurudiana baadae.
reggie-Bush-and-Kim-KArdashian
Evan Ross (2007)

Huyu ni mtoto wa mwanamuziki wa zamani na maarufu kabisa nchini marekani, Diana Ross. Wawili hawa walitoka pamoja kipindi kardashian alipuamua kupumzisha penzi la Reggie Bush.
Evans-Ross-and-Kim-Kardashian
Christiano Ronaldo (April 2010)
Hiki kipindi mrembo Kim alikua nchini Hispania kimapumziko ndipo alipokutana na Christiano Ronaldo. Kipindi hicho christiano akiwa na miaka 25 huku Kim akiwa na 29 , wawili hao walionekana kwa mara ya kwanza wakipeana mahaba ndani ya siku 3 ambazo kim alikua nchini humo.
Christiano-Ronaldo-Kim-Kardashian
Shengo Deane (April 2010)
katika interview yake ya Piers Morgan kim alieleza jinsi alivyohuzunika kuhusu sex tape yake ya mwaka 2007 lakini chaushangaza aliweza kuonyesha mahaba yake na Shengo Deane katika kipindi cha keeping up with the Kardshians. Kumbuka mu-Australia huyu alikua ni bodyguard wa Kim Kardashian.
Shengo-Deane-and-Kim-Kardashian
Miles Austin (June 2010)
Huyu naye ni mchezaji wa American Football. Wawili haya walidumu kwa miezi na hakuna sababu ya msingi ya kutengana kwao zaidi ya long distance.
Miles-Austin-and-Kim-KArdashian
Michael Copon (October 2010)
huyu ni muigizaji aliyemjua Kim kwa zaidi ya miaka 11 na baadae wakafanya yao japokua uhusiano wao haukudumu kabisa kwa alichokisema Michael kwamba Kim anatabia za kitoto.
Michael-Copon-and-Kim-Kardashian
John Mayer (October 2010)
Hii ilikua mwishoni mwa mwezi October ambapo kim aliamua isiwe tabu na kumuachia mwanamuziki na producer , John Mayer ale mema ya nchi
Jon-Mayer--and-Kim-Kardashian
Gabriel Aubrey (November 2010)
Huyu ni model kutoka nchini Canada na kipindi anatoka na Kardashian alikua ana mtoto wa miaka miwili aliyezaa na msanii Halley Berry.
Gabriel-Aubrey-and-Kim-Kardashian
Kris Humphries (2010-2013)
Hii ilikua ndoa ya pili kwa kim Kardashian. Hii ndoa kati ya Kris Humphries na Kim Kardashian ni maarufu kwasababu iliweza kudumu kwa siku 72 tu ! Ndoa ya mcheza kikapu huyu wa NBA na Kim ilifika mwisho baada ya Kim kuhisi kwamba hamna jema litakalotokea baadae na Kris pia kuhisi Kim anachepuka kwa rapper Kanye West.
kris-humphries-and-kim-kardashian
Kanye West (2007 hadi leo)
Unashangaa nini sasa ? Kim Kardashian alikua akichepuka kwa Kanye kipindi ana mahusiano na Reggie Bush na Kris Humpries.Kwasasa Kim na Kanye ni wanandoa na wanamtot mmoja, North West.
Kim-Kardashian-And-Kanye-West
Duh, hivi kwa hii list wewe ungekubali kumuoa Kim kwa mara ya tatu kama alivyofanya kanye tena ukizingatia kuna wengine waliopita sema bila uhakika kama 50cent, The Game, Brett Lockett, Scot Storch  na wenine wasio celebrities ?

LULU AGEUKA BONDIA, AMTEMBEZEA KICHAPO BONGO MOVIE MWENZAKE, SOMA FULL STORY HAPA


MASTAA wa kike wanaotingisha Bongo, Elizabeth Michael ‘ Lulu’ ( pichani) na Husna Maulid, ilibaki kidogo wazichape Kabla ya tukio hilo, awali wawili hao waliwahi kuingia kwenye bifu baada ya kudaiwa walikuwa wanamgombea pedeshee mmoja wa mjini, kila mmoja akijipa uhalali wa kumilikiwa.

Tukio hilo bichi kabisa lilitokea Juni 16, mwaka huu , Mikocheni jijini Dar es Salaam ambapo chanzo kinasema , wadada hao walikuwa wakirekodi sinema ambayo haijajulikana jina lake . “Ni kweli walikuwa wakirekodi filamu , lakini kuna muda walizinguana ila watu wanasema bado wanakasirikiana kutokana na ile ishu ya kunyang’ anyana mwanaume . “Joti ( Lucas Mhuvile – yule komediani wa Kundi la Orijino Komedi ) alikuwepo eneo la tukio na ndiye aliyewapatanisha, ” kilipasha chanzo hicho. Joti alipotakiwa kuzungumzia ishu hiyo , alikiri kutokea lakini kwenye kurekodi filamu huku akikataa kufafanua.

 “We’ jua kuwa ilikuwa filamu , si ugomvi serious,” alisema Joti . Lulu hakupatikana kuzungumzia ishu hiyo lakini Husna alipopatikana alisema : “Tulitofautiana kikawaida tu kama wanawake lakini hatukufika kwenye mambo ya kupigana. ”

Mume wa Flora Mbasha akamatwa na kupandishwa kizimbani kwa tuhuma za Ubakaji.....Ashindwa masharti ya dhamana, apelekwa Rumande

MSANII Emmanuel Mbasha (32) na mume wa Mwimbaji wa Injili, Flora Mbasha, amefikishwa  Mahakama ya Wilaya ya Ilala akikabiliwa na mashitaka mawili likiwemo la ubakaji.

Mshtakiwa huyo ambaye ni mfanyabiashara na mwimbaji alisomewa mashitaka yake mbele ya Hakimu Mkazi Wilberforce Luago.

Wakili wa Serikali Nassoro Katuga alidai kuwa mshtakiwa alitenda makosa hayo mawili maeneo ya Tabata Kimanga, jijini Dar es Salaam.

Katuga alidai katika shitaka la kwanza kuwa, Mei 23, mwaka huu eneo la Tabata Kimanga, Wilaya ya Ilala, jijini Dar es Salaam,  kinyume cha sheria huku akijua ni kosa alimuingilia kwa nguvu msichana anayedaiwa kuwa shemeji yake (jina limehifadhiwa).

Katika shitaka la pili, ilidaiwa kuwa Mei 25, mwaka huu eneo la Tabata Kimanga, jijini Dar es Salaam, kinyume cha sheria, mshtakiwa alimuingilia kwa nguvu  mfanyakazi wake (jina limehifadhiwa).

Hata hivyo, mshtakiwa alikana mashitaka hayo .Upande wa Jamhuri ulidai kuwa hauna pingamizi la dhamana.

Hakimu Luago alitaja masharti ya dhamana kwa mshtakiwa kuwa na wadhamini wawili, mmoja awe mtumishi wa serikali na mwingine kutoka taasisi inayotambulika watakaosaini hati ya dhamana ya Sh. milioni 5.


Mshtakiwa alishindwa kutimiza masharti ya dhamana hivyo alipelekwa rumande na kesi iliahirishwa hadi Juni 19, mwaka huu itakapotajwa.

Mbasha akiwa chini ya ulinzi wa askari polisi alisindikizwa katika basi la Jeshi la Magereza kwa ajili ya kwenda kuanza maisha mapya mahabusu ya Keko, jijini Dar es Salaam.

ZIFAHAMU SEHEMU ZINAZOMPA UTAMU MWANAMKE HAPA...


 
Kwa bahati nzuri wanawake wana
maeneo 5 ambayo huwawezesha
kusikia utamu wa kufanya ngono tofauti
na wanaume.
Sehemu maarufu ni kisimi na G spot
lakini kuna eneo lingine linaitwa AFE
ambalo liko mwishoni kabisa mwa uke
na vile vile kuta za uke bila kusahau
mwanzo wa uke.
Mwanamke huweza kupata utamu wa
tendo hili takatifu kwenye maeneo yote
hayo ikiwa mpenzi wake anajua
kuwajibika, sio kufanya mapenzi kwa
muda mrefu tu bali pia kujua kucheza na
uume wake. Pamoja na utundu wake pia
wewe mwanamke unatakiwa kuwa wazi
na huru kumuelekeza ikiwa kagusa
kusiko au kapatia kunako utamu.
Utamu wa maeneo yote hayo ni tofauti
na unazidiana kati ya mwanamke mmoja
na mwingine.
Hebu sasa tutazame hizo sehemu tofauti
za utamu wa ngono kwa wanawake.
Kisimi
Wanawake hupata utamu wa kisimini
kwa njia ya kusuguliwa, kushikwa,
kuchezewa kwa ulimi, kidole au kichwa
cha uume. Utamu wa mahali hapa
hupatikana haraka na hufanya usitamani
tena tendo hilo kwa muda fulani
(Kuanzia dakika 3 – 15) na kikiguswa
tena huweza kumpa mwanamke
maumivu fulani hivi. Baadhi ya
wanawake huwa hawawezi kuendelea
tena na tendo mara baada ya kuchezewa
kisimi.
G-spot
Utamu wa mahali hapa ni wa nguvu
sana na wanawake wengi huishiwa
nguvu kwa muda wanapoguswa eneo
hili. Nguvu hizo huchukua muda wa
dakika 20 – 45 kurejea, na zikirejea
hamu haiishi. Hivyo wakati wewe
umezimia mpenzi wako anaweza
kuendelea na mchezo na nguvu zikirudi
basi na wewe unaendelea kutafuta goli
lingine.
Mwanzo wa uke
Utamu wa mahali hapa haumpotezei
mwanamke hamu, kwani hafiki kileleni
bali anasikia utamu fulani hivi. Ili
mwanamke aweze kufika kileleni,
mwanaume anatakiwa aingize uume
ndani zaidi ili aweze kugusa eneo la G-
Spot na kuta za uke.
Kuta za uke
Utamu wa eneo hili unapatikana toka
mwanzo uume ulipoingizwa, na kadri
mnavyoendelea kufanyana ndivyo utamu
unavyozidi kuongezeka na hatimaye
mwanamke hujikuta akifika kileleni.
Mwisho wa uke (karibu na njia ya
uzazi)
Utamu wa eneo hili hupatikana endapo
uume wa mpenzi wako utagusa mwisho
wa uke. Kwa kawaida mwanamke
husikia maumivu flani anapoguswa eneo
hili lakini wakati huo huo bado
anapenda aendelee na wakati mwingine
anaweza kumuomba mpenzi wake
afanye kwa nguvu. Pia mwanamke
anaweza kutokwa na damu endapo
ataguswa eneo hilo.
Ewe mwanamke, hakikisha unamruhusu
mpenzi wako kufika huko ikiwa
mnaaminiana, mko kwenye uhusiano wa
kudumu, msafi kiafya na uko tayari kuwa
mama endapo mpenzi wako atateleza na
kuachia kidogo kwani eneo hili lipo
mlangoni kabisa mwa njia ya uzazi.

Hali ni mbaya Kenya: Al- Shabaab wameua watu wengine 10 usiku wa kuamkia leo , Jana walivamia na kuua watu 50




Shambulizi  jingine limetokea katika eneo la Mpeketoni karibu na Lamu , pwani ya Kenya na kusababisha vifo vya watu 10.
 
Shambulizi la leo limetokea siku moja tu baada ya Al Shabaab kukiri kufanya mashambulizi yaliyowaua watu 50 Jumatatu.
Polisi wanasema kuwa washambuiaji hao walivamia kijiji kimoja usiku kucha. 
 
Kundi la Al Shabaab lilikiri kufanya mashambulizi hayo na kuambia shirika la Reuters kuwa operesheni yao ya mashambulizi itaendelea nchini Kenya.
 
Takriban watu 50 waliuawa katika mashambulizi yaliyofanyika usiku wa kuamkia Jumatatu huku washambuliaji wakishambulia hoteli na kituo cha polisi pamoja na kuteketeza magari.

Credit: BBC