
Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala, Isaya Mgurumi...
Sakata la kuhamishwa kwa wafanyabiashara wadogo katikati ya Jiji la Dar
es Salaam limeingia mdudu baada ya madiwani wa Ukawa kugomea uamuzi
uliotolewa na uongozi wa jiji hilo.
Uamuzi huo uliotolewa na Mkurugenzi...